You may have to Search all our reviewed books and magazines, click the sign up button below to create a free account.
Mwandishi wa habari za burudani Faith (Fortunata) Wheeler anajua siri ambayo inaweza kumpa umaarufu mkubwa Hollywood. Kwa bahati mbaya siri hiyo inaweza kumuharibia umaarufu wake mkubwa msanii nyota Zander Baron. Nyota mpya kabisa anaechipukia kwa kasi wa filamu za ngumi waHollywood Zander ana kila sifa ambazo mwanaume yeyote angependa kuwa nazo – na mwanamke anazovutiwa nazo. Mtanashati, ana akili, huruma na mcheshi. Zander ana hewa ya ajabu ambayo inamfanya alete mshawasha wa kutaka kumjua zaidi. Hakuna mtu anayejua ukweli kuhusu asili na pengine hata jina lake halisi. Isipokuwa Fortunata. Fortunata anajua kila kitu kuhusu mwanaume huyu aitwaye Zander Baron, kwa sababu alishawahi kuwa na...
A book of children's stories, poems, tongue-twisters, proverbs, and brain-teasers from Africa by Sr. Stella Sabina, an author from Uganda who studied in Kenya and now lives and works in Indiana, USA.
This is Lufrika, a place of gold! Here we walk on silver dust and our streets are paved with adorable precious ornaments, a place so endowed with unparalleled stunning weather, and numerous beguiling touristic scenes. The people are very friendly and wonderful. She is a citadel of beauty and riches. But guess what? The children of Lufrika have been subjected to abject poverty, perpetual ugliness and untold slovenliness. The people wallow and grope in the darkness of hopelessness and pain, the pang of corruption, the adversity of illiteracy, and all manner of endemic afflictions. For so long, Lufrika has suffered alarming political instability, all the while craving for a messiah, who will break away the claws of this evil but to no avail. Then a mother arises in Lufrika, a leader par excellence, a woman of courage, character and power, blended in the right proportions with passion. She altruistically administers relief throughout the entire land, and brings hope to many. She brings beauty and laughter . . . she is a lioness.
Katika kitabu hiki, mwandishi anamwonyesha muamini funguo kuu ya kupokea upenyo wa kiroho, kimwili, kiuchumi na kimali!
This is the first in a trilogy, of two sisters who find out that they are not who they thought they were. The Silver Crest follows the adventures of Rajah and DeLacy, as they travel to another world and discover more of their past, and even their future.
This book analyzes socio-religious transformation in Tanzania. Some scholars claim that religion has returned to the public domain since the collapse of Tanzanian socialism, and that there is a tension between Muslims and Christians. Based on focus group discussions in Dar es Salaam, author Thomas Joseph Ndaluka acquires insight into Muslim - Christian relations using Critical Discourse Analysis. He analyzes how Muslims and Christians identify and position themselves in relation to each other and the conditions which make them elevate their religious identity over other identities. Ndaluka reveals that some periphreal voices threaten social cohesion, but, in general, Muslims and Christians maintain friendly relations and avoid conflict. He also shows individualization or de-institutionalization as dominant trends in the country. However, educational institutions have remained strong and influence other institutions, such as the family. (Series: Interreligious Studies - Vol. 5)
Ili tuweze kupokea uponyaji wa kimsingi na tuishi maisha yenye afya, kila mmoja wetu lazima aelewe chanzo cha ugonjwa ni nini, na ni kwa jinsi gani tutapokea uponyaji. Kwa injili na kweli siku zote kuna pande mbili. Watu wasiokubali injili na kweli wamewekewa laana na adhabu, bali watu wanaokubali baraka na uzima vinawangojea. Ni mapenzi ya Mungu kwamba kweli ifichike kwa wale wanaojiona kuwa wenye hekima na akili, kama vile Mafarisayo na waalimu wa sheria. Pia ni mapenzi ya Mungu kwamba kweli ifunuliwe kwa wale ambao ni kama watoto, wanaoitamani na kufungua mioyo yao (Luka 10:21). Mungu ameahidi waziwazi baraka kwa wale wanaotii na kuishi kwa kufuata amri zake. Lakini pia amenakili kwa utondoti kuhusu laana na aina zote za magonjwa yatakayotupwa juu ya wale wasiotii amri zake (Kumbukumbu la Torati 28:1-68). Kwa kuwakumbusha Neno la Mungu watu wasioamini na hata baadhi ya waamini wanaolisahau, kazi hii inalenga kuwaweka watu kama hao katika njia ya sawa na kupata uhuru kutokana na magonjwa na maradhi.
Learn the official language of Kenya and Tanzania Swahili For Dummies will teach you the basics of Swahili, so you can start conversing in Africa’s language of commerce. This book introduces you to the foundations of Swahili grammar and enables you to engage in basic conversations. With the simplified Dummies learning process, you’ll quickly get a grasp on the language, without complex terms and confusing explanations. You’ll also move through the book at a comfortable pace, so you’ll be familiar with what you’ve learned before moving on to more complex stuff. Focus on communication and interaction in everyday situations, so you can actually use the language you’re studying—right away. Understand the basics of Swahili Learn everyday words and phrases Gain the confidence to engage in conversations in Swahili Communicate while traveling and talk to Swahili-speaking family members Swahili For Dummies is for readers of all ages who want to learn the basics of Swahili in a no-stress, beginner-friendly way. Swahili teachers will also love sharing this practical approach with their students.
Riwaya ya Mungu Hakopeshwi inaelezea maisha ya familia moja ya Unguja iliyoingia katika mitafaruku na mikasa mingi. Kila kitu huwa na chanzo na khatima; basi ni nini chanzo cha mitafaruku hiyo na khatima yake ilikuwaje? Simulizi ni juu ya baba, Bw. Ahmed, mwenye hasira kali zisizo na mipaka, aliyeongoza familia yake kwa utashi wa nafsi yake, bila kujali hisia za mkewe wala wanawe. Kumbe moyoni mwake alihifadhi siri, na hiyo siri ndiyo iliyomfanya Bw. Ahmed kuwa mkali bila kiasi, ikimsukuma azuie kurejea kwa yale yaliyomfika zamani. Lakini kivuli cha historia ya maisha yake ya nyuma hakikuacha kumuandama. Riwaya hii i meandikwa kwa lugha nzuri na fasaha, kwa ufundi wa msanii makini na mwelewa wa maisha ya jamii za Kizanzibari na za mwambao kwa jumla.